Papa Leo VII

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Leo VII.

Papa Leo VII, O.S.B. alikuwa Papa kuanzia mwezi Januari 936 hadi kifo chake tarehe 13 Julai 939[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Alimfuata Papa Yohane XI akafuatwa na Papa Stefano VIII.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Leo VII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.