Papa Paskali II

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Papa Paschal II)
Papa Paskali II.

Papa Paskali II, O.S.B. (alifariki 21 Januari 1118) alikuwa Papa kuanzia tarehe 13/14 Agosti 1099 hadi kifo chake[1]. Alitokea Bleda au Galeata, Forlì, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Ranierius.

Alimfuata Papa Urbano II akafuatwa na Papa Gelasio II.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Paskali II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.