Papa Gregori XV

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Gregori XV.

Papa Gregori XV (9 Januari 15548 Julai 1623) alikuwa Papa kuanzia tarehe 9/14 Februari 1621 hadi kifo chake[1]. Alitokea Bologna, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Alessandro Ludovisi.

Alimfuata Papa Paulo V akafuatwa na Papa Urbano VIII.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Gregori XV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.