6 Septemba
Ago - Septemba - Okt | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | |||||
Kalenda ya Gregori |
Tarehe 6 Septemba ni siku ya 249 ya mwaka (ya 250 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 116.
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
- 1860 - Jane Addams, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1931
- 1876 - John Macleod, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1923
- 1892 - Edward Appleton, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1947
- 1906 - Luis Leloir, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1970
- 1939 - Susumu Tonegawa, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1987
- 1943 - Richard Roberts, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1993
- 1958 - Jeff Foxworthy, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 1987 - Marie Fuema, mwanamitindo kutoka Senegal
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 952 - Suzaku, mfalme mkuu wa Japani (930-946)
- 972 - Papa Yohane XIII
- 1985 - Rodney Porter, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1972)
- 1998 - Akira Kurosawa, mwongozaji wa filamu kutoka Japani
Sikukuu[hariri | hariri chanzo]
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Zekaria, Onesiforo, Donasyani, Presidi na wenzao, Eleuteri wa Spoleto n.k.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- BBC: On This Day
- On this day in Canada Archived 2012-12-08 at Archive.today
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 6 Septemba kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |