Betrandi wa Garrigues
Mandhari
Betrandi wa Garrigues, O.P. (pia: Bertrand, Bertran; Garrigues, karne ya 12 - Bouchet[1] 15 Agosti 1230) alikuwa padri wa Ufaransa ambaye ni kati ya wafuasi wa kwanza na bora zaidi wa Dominiko wa Guzman katika shirika lake jipya [2].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu. Papa Leo XIII alithibitisha heshima hiyo tarehe 12 Julai 1881.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Septemba[3].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Sadoc M. Bertucci, BSS, vol. III (1963), col. 134.
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/90800
- ↑ Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- (Kifaransa) Édouard Drouot, Le bienheureux Bertrand de Garrigues, Compagnon gardois de saint Dominique, Éditions Lacour-Ollé, 1990
- (Kiitalia) Congregatio de Causis Sanctorum, Index ac status causarum, Città del Vaticano, 1999.
- (Kiitalia) Filippo Caraffa e Giuseppe Morelli (curr.), Bibliotheca Sanctorum (BSS), 12 voll., Roma, Istituto Giovanni XXIII nella Pontificia Università Lateranense, 1961-1969.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- (Kiingereza) Biographie détaillée
- (Kifaransa) Histoire du diocèse de Nîmes
- (Kifaransa) Histoire de l'abbaye de Bouchet Ilihifadhiwa 14 Mei 2024 kwenye Wayback Machine.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |