1881
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 18 | Karne ya 19 | Karne ya 20 | ►
◄ | Miaka ya 1850 | Miaka ya 1860 | Miaka ya 1870 | Miaka ya 1880 | Miaka ya 1890 | Miaka ya 1900 | Miaka ya 1910 | ►
◄◄ | ◄ | 1877 | 1878 | 1879 | 1880 | 1881 | 1882 | 1883 | 1884 | 1885 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1881 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 29 Juni - Mohammed Ahmad ibn Abd Allah ajitangaza kuwa mahdi nchini Sudan na kuanzisha vita ya jihadi dhidi ya Misri na Uingereza.
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 1881 MDCCCLXXXI |
Kalenda ya Kiyahudi | 5641 – 5642 |
Kalenda ya Ethiopia | 1873 – 1874 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1330 ԹՎ ՌՅԼ |
Kalenda ya Kiislamu | 1298 – 1299 |
Kalenda ya Kiajemi | 1259 – 1260 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 1936 – 1937 |
- Shaka Samvat | 1803 – 1804 |
- Kali Yuga | 4982 – 4983 |
Kalenda ya Kichina | 4577 – 4578 庚辰 – 辛巳 |
- 31 Januari - Irving Langmuir (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1932)
- 12 Februari - Hatcher Hughes, mwandishi kutoka Marekani
- 4 Machi - Thomas Sigismund Stribling, mwandishi kutoka Marekani
- 17 Machi - Walter Hess, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1949
- 23 Machi - Roger Martin du Gard (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1937)
- 23 Machi - Hermann Staudinger (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1953)
- 25 Machi - Bela Bartok (mtungaji wa muziki Mhungaria)
- 27 Julai - Hans Fischer (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1930)
- 6 Agosti - Alexander Fleming (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1945)
- 22 Oktoba - Clinton Davisson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1937)
- 25 Oktoba - Pablo Picasso, mchoraji kutoka Hispania
- 24 Desemba - Juan Ramon Jimenez (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1956)
bila tarehe
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 9 Februari - Fyodor Dostoyevski, mwandishi Mrusi
- 28 Machi - Modest Mussorgsky, mtunzi wa muziki kutoka Urusi
- 19 Septemba - James A. Garfield, Rais wa Marekani (1881)
- 10 Oktoba - Mtakatifu Daniele Comboni, mmisionari na askofu Mkatoliki nchini Sudan
- 26 Novemba - Johann Ludwig Krapf (mmisionari wa CMS, Afrika ya Mashariki)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: