1881
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1850 |
Miaka ya 1860 |
Miaka ya 1870 |
Miaka ya 1880
| Miaka ya 1890
| Miaka ya 1900
| Miaka ya 1910
| ►
◄◄ |
◄ |
1877 |
1878 |
1879 |
1880 |
1881
| 1882
| 1883
| 1884
| 1885
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1881 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 29 Juni - Mohammed Ahmad ibn Abd Allah ajitangaza kuwa mahdi nchini Sudan na kuanzisha vita ya jihadi dhidi ya Misri na Uingereza.
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2023 MMXXIII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5783 – 5784 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2776 |
Kalenda ya Ethiopia | 2015 – 2016 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1472 ԹՎ ՌՆՀԲ |
Kalenda ya Kiislamu | 1445 – 1446 |
Kalenda ya Kiajemi | 1401 – 1402 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2078 – 2079 |
- Shaka Samvat | 1945 – 1946 |
- Kali Yuga | 5124 – 5125 |
Kalenda ya Kichina | 4719 – 4720 壬寅 – 癸卯 |
- 31 Januari - Irving Langmuir (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1932)
- 12 Februari - Hatcher Hughes, mwandishi kutoka Marekani
- 4 Machi - Thomas Sigismund Stribling, mwandishi kutoka Marekani
- 17 Machi - Walter Hess, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1949
- 23 Machi - Roger Martin du Gard (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1937)
- 23 Machi - Hermann Staudinger (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1953)
- 25 Machi - Bela Bartok (mtungaji wa muziki Mhungaria)
- 27 Julai - Hans Fischer (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1930)
- 6 Agosti - Alexander Fleming (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1945)
- 22 Oktoba - Clinton Davisson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1937)
- 25 Oktoba - Pablo Picasso, mchoraji kutoka Hispania
- 24 Desemba - Juan Ramon Jimenez (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1956)
bila tarehe
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 9 Februari - Fyodor Dostoyevski, mwandishi Mrusi
- 28 Machi - Modest Mussorgsky, mtunzi wa muziki kutoka Urusi
- 19 Septemba - James A. Garfield, Rais wa Marekani (1881)
- 10 Oktoba - Mtakatifu Daniele Comboni, mmisionari na askofu Mkatoliki nchini Sudan
- 26 Novemba - Johann Ludwig Krapf (mmisionari wa CMS, Afrika ya Mashariki)