1884
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1850 |
Miaka ya 1860 |
Miaka ya 1870 |
Miaka ya 1880
| Miaka ya 1890
| Miaka ya 1900
| Miaka ya 1910
| ►
◄◄ |
◄ |
1880 |
1881 |
1882 |
1883 |
1884
| 1885
| 1886
| 1887
| 1888
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1884 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]- 10 Novemba - Mjerumani Carl Peters anafika Saadani kutoka Zanzibar, hatua ya kwanza ya kuunda koloni la Afrika ya Mashariki ya Kijerumani
Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 24 Machi - Peter Debye (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1936)
- 12 Aprili - Otto Meyerhof (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1922)
- 8 Mei - Harry S. Truman, Rais wa Marekani (1945-53)
- 8 Agosti - Sara Teasdale, mshairi kutoka Marekani
- 30 Agosti - Theodor Svedberg (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1926)
- 30 Septemba - Margaret Widdemer, mshairi kutoka Marekani
- 11 Oktoba - Friedrich Bergius (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1931)
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 12 Mei - Bedřich Smetana, mtunzi wa muziki kutoka Ucheki
