Margaret Widdemer

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Margaret Widdemer (30 Septemba 188414 Julai 1978) alikuwa mwandishi wa riwaya na mshairi wa kike kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 1919 alipokea tuzo maalumu ya Pulitzer kwa ajili ya mashairi yake.

Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Margaret Widdemer kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.