1889
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1850 |
Miaka ya 1860 |
Miaka ya 1870 |
Miaka ya 1880
| Miaka ya 1890
| Miaka ya 1900
| Miaka ya 1910
| ►
◄◄ |
◄ |
1885 |
1886 |
1887 |
1888 |
1889
| 1890
| 1891
| 1892
| 1893
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1889 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]- 6 Oktoba - Kilele cha Kilimanjaro kimefikiwa mara ya kwanza.
- 15 Novemba Brazil inatangazwa kuwa jamhuri; utawala wa kifalme wa Kaisari unakwisha
Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 29 Machi - Howard Lindsay, mwandishi kutoka Marekani
- 6 Aprili - Gabriela Mistral (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1945)
- 16 Aprili - Charlie Chaplin, mwigizaji filamu kutoka Uingereza
- 16 Aprili - Ludwig Wittgenstein, mwanafalsafa kutoka Austria
- 20 Aprili - Adolf Hitler, dikteta wa Ujerumani miaka ya 1933-45
- 21 Aprili - Paul Karrer, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1937
- 5 Agosti - Conrad Aiken, mwandishi kutoka Marekani
- 1 Novemba - Philip Noel-Baker, mwanasiasa wa Uingereza na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1959
- 30 Novemba - Edgar Adrian (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1932)
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 10 Machi - Yohannes IV, Mfalme Mkuu wa Uhabeshi
- 16 Desemba - Abushiri ibn Salim al-Harthi, Mtanzania aliyeongoza upinzani dhidi ya ukoloni wa Ujerumani
- 15 Aprili - Mtakatifu Damiano wa Molokai, padri, mtawa na mmisionari kutoka Ubelgiji
