1889
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1850 |
Miaka ya 1860 |
Miaka ya 1870 |
Miaka ya 1880
| Miaka ya 1890
| Miaka ya 1900
| Miaka ya 1910
| ►
◄◄ |
◄ |
1885 |
1886 |
1887 |
1888 |
1889
| 1890
| 1891
| 1892
| 1893
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1889 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 6 Oktoba - Kilele cha Kilimanjaro kimefikiwa mara ya kwanza.
- 15 Novemba Brazil inatangazwa kuwa jamhuri; utawala wa kifalme wa Kaisari unakwisha
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2023 MMXXIII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5783 – 5784 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2776 |
Kalenda ya Ethiopia | 2015 – 2016 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1472 ԹՎ ՌՆՀԲ |
Kalenda ya Kiislamu | 1445 – 1446 |
Kalenda ya Kiajemi | 1401 – 1402 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2078 – 2079 |
- Shaka Samvat | 1945 – 1946 |
- Kali Yuga | 5124 – 5125 |
Kalenda ya Kichina | 4719 – 4720 壬寅 – 癸卯 |
- 29 Machi - Howard Lindsay, mwandishi kutoka Marekani
- 6 Aprili - Gabriela Mistral (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1945)
- 16 Aprili - Charlie Chaplin, mwigizaji filamu kutoka Uingereza
- 16 Aprili - Ludwig Wittgenstein, mwanafalsafa kutoka Austria
- 20 Aprili - Adolf Hitler, dikteta wa Ujerumani miaka ya 1933-45
- 21 Aprili - Paul Karrer, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1937
- 5 Agosti - Conrad Aiken, mwandishi kutoka Marekani
- 1 Novemba - Philip Noel-Baker, mwanasiasa wa Uingereza na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1959
- 30 Novemba - Edgar Adrian (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1932)
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 10 Machi - Yohannes IV, Mfalme Mkuu wa Uhabeshi
- 16 Desemba - Abushiri ibn Salim al-Harthi, Mtanzania aliyeongoza upinzani dhidi ya ukoloni wa Ujerumani
- 15 Aprili - Mtakatifu Damiano wa Molokai, padri, mtawa na mmisionari kutoka Ubelgiji