1892
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1860 |
Miaka ya 1870 |
Miaka ya 1880 |
Miaka ya 1890
| Miaka ya 1900
| Miaka ya 1910
| Miaka ya 1920
| ►
◄◄ |
◄ |
1888 |
1889 |
1890 |
1891 |
1892
| 1893
| 1894
| 1895
| 1896
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1892 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 3 Januari - J.R.R. Tolkien, mtaalamu wa Kiingereza na mwandishi wa Bwana wa Mapete
- 6 Februari - William Murphy (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1934)
- 22 Februari - Edna St. Vincent Millay, mshairi wa kike kutoka Marekani
- 18 Machi - Robert P. T. Coffin, mshairi kutoka Marekani
- 28 Machi - Corneille Heymans (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1938)
- 3 Mei - George Thomson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1937)
- 7 Mei - Archibald MacLeish, mshairi kutoka Marekani
- 26 Juni - Pearl S. Buck (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1938)
- 23 Julai - Haile Selassie, Mafalme Mkuu wa Ethiopia
- 6 Septemba - Edward Appleton, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1947
- 10 Septemba - Arthur Holly Compton, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1927
- 28 Septemba - Elmer Rice, mwandishi kutoka Marekani
- 10 Oktoba - Ivo Andric (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1961)
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 23 Oktoba - Emin Pasha, daktari na mwanasiasa Mjerumani aliyefanya kazi katika Milki ya Osmani
