Corneille Heymans


Corneille Heymans (28 Machi 1892 – 18 Julai 1968) alikuwa mwanafiziolojia kutoka nchi ya Ubelgiji. Hasa alichunguza mfumo wa damu mwilini. Mwaka wa 1938 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.
![]() |
Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Corneille Heymans kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |