1894
Jump to navigation
Jump to search
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1860 |
Miaka ya 1870 |
Miaka ya 1880 |
Miaka ya 1890
| Miaka ya 1900
| Miaka ya 1910
| Miaka ya 1920
| ►
◄◄ |
◄ |
1890 |
1891 |
1892 |
1893 |
1894
| 1895
| 1896
| 1897
| 1898
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1894 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- Buganda inatangazwa kuwa nchi lindwa na Uingereza
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2021 MMXXI |
Kalenda ya Kiyahudi | 5781 – 5782 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2774 |
Kalenda ya Ethiopia | 2013 – 2014 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1470 ԹՎ ՌՆՀ |
Kalenda ya Kiislamu | 1443 – 1444 |
Kalenda ya Kiajemi | 1399 – 1400 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2076 – 2077 |
- Shaka Samvat | 1943 – 1944 |
- Kali Yuga | 5122 – 5123 |
Kalenda ya Kichina | 4717 – 4718 庚子 – 辛丑 |
- 8 Januari - Maximilian Kolbe, padre mtakatifu kutoka Poland
- 17 Machi - Paul Green, mwandishi wa tamthiliya kutoka Marekani
- 17 Aprili - Nikita Krushchov, kiongozi wa Umoja wa Kisovyeti 1953-64
- 13 Juni - Mark Van Doren, mshairi na profesa kutoka Marekani
- 8 Julai - Pyotr Kapitsa (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1978)
- 14 Oktoba - Edward Cummings, mwandishi kutoka Marekani
- 18 Oktoba - Harold L. Davis, mwandishi kutoka Marekani
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 21 Aprili - Mtakatifu Konrad wa Parzham, bradha Mfransisko nchini Ujerumani
Wikimedia Commons ina media kuhusu: