Mark Van Doren

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Faili:Mark Van Doren (1894 – 1972).jpg
Mark Van Doren

Mark Van Doren (13 Juni 189410 Desemba 1972) alikuwa mshairi, mwandishi na profesa wa Kiingereza kutoka nchi ya Marekani. Yeye ni mdogo wa Carl Van Doren. Mwaka wa 1940 alipokea Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mark Van Doren kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.