1902
Jump to navigation
Jump to search
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1870 |
Miaka ya 1880 |
Miaka ya 1890 |
Miaka ya 1900
| Miaka ya 1910
| Miaka ya 1920
| Miaka ya 1930
| ►
◄◄ |
◄ |
1898 |
1899 |
1900 |
1901 |
1902
| 1903
| 1904
| 1905
| 1906
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1902 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
| Kalenda ya Gregori | 2020 MMXX |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5780 – 5781 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2773 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2012 – 2013 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1469 ԹՎ ՌՆԿԹ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1442 – 1443 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1398 – 1399 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2075 – 2076 |
| - Shaka Samvat | 1942 – 1943 |
| - Kali Yuga | 5121 – 5122 |
| Kalenda ya Kichina | 4716 – 4717 己亥 – 庚子 |
- 9 Januari - Josemaría Escrivá
- 10 Februari - Walter Brattain, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1956
- 27 Februari - John Steinbeck, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1962
- 23 Aprili - Halldor Laxness, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1955
- 3 Mei - Alfred Kastler, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1966
- 8 Mei - André Lwoff, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1965
- 16 Juni - Barbara McClintock, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1983
- 10 Julai - Kurt Alder, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1950
- 8 Agosti - Paul Dirac, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1933
- 10 Agosti - Arne Tiselius, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1948
- 12 Septemba - Marya Zaturenska, mshairi kutoka Marekani
- 24 Septemba - Ruhollah Khomeini, kiongozi wa dini na wa serikali nchini Uajemi (1979-1989)
- 17 Novemba - Eugene Wigner, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1963
bila tarehe
- James Jolobe, mchungaji na mshairi wa Afrika Kusini aliyeandika hasa kwa Kixhosa
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 5 Aprili - Hans Buchner (daktari Mjerumani)
- 6 Julai - Mtakatifu Maria Goretti, bikira mfiadini wa Italia
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: