Abushiri ibn Salim al-Harthi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Abushiri ibn Salim al-Harthi

Abushiri mnamo 1888.
Amekufa 1889
Nchi Tanzania
Kazi yake Mwanasiyasa
Historia ya Tanzania
Coat of Arms of Tanzania
This article is part of a series
Uendo
Historia ya Zanzibar
Afrika Mashariki 1800-1845
Ukoloni
Afrika ya Mashariki ya Kijerumani
Mkataba wa Zanzibar-Helgoland
Mkwawa
Vita vya Maji Maji
Vita vikuu vya kwanza Afrika Mashariki
Tanganyika
Mapambano ya uhuru Tanganyika
Uhuru
Uhuru wa Tanganyika
Mapinduzi ya Zanzibar
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Julius Nyerere
Ujamaa
Tamko la Arusha
Vita vya Kagera
Ali Hassan Mwinyi
Benjamin Mkapa
Jakaya Kikwete
John Magufuli
Samia Suluhu Hassan

Tanzania Portal

Abushiri ibn Salim al-Harthi alikuwa kiongozi wa upinzani dhidi ya ukoloni wa Wajerumani katika maeneo ya Pangani na pwani ya Tanzania ya leo mnamo 1889.

Alikuwa mfanyabiashara na mwenye mashamba ya miwa karibu na Pangani.

Mnamo Agosti 1889 aliongoza upinzani dhidi ya utawala wa Shirika la Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki katika eneo la Pangani.

Baada ya miezi ya mapambano (taz. vita ya Abushiri) alikamatwa na hatimaye kunyongwa na Wajerumani tarehe 16 Desemba 1889.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Glassmann, J.: Bushiri bin Salim, makala katika Dictionary of African Biography, ed. Emmanuel Kwaku Akyeampong & Steven J. Niven, uk. 13f, ISBN-13: 978-0195382075, ISBN-10: 0195382072
  • Pugu hadi Peramiho - kimehaririwa na P. Gerold Rupper, OSB, BPNP, Peramiho 1988, ISBN 9967 67 031 1
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Abushiri ibn Salim al-Harthi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.