Lu Xun

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha ya Lu Xun mnamo 1930

Lu Xun (1881 - 1936) alikuwa mwandishi mashuhuri nchini China. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Zhou Zhangshou.

Baadhi ya tamthiliya yake ni:

  • Hadithi kweli ya Ah O (The tue story of Ah Q)
  • Shajara ya kichaa (Diary of a mad man)
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lu Xun kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.