Shemasi mkuu

Shemasi wa kwanza Vladimir Nazarkin (kushoto) na shemasi mkuu Andrei Mazur wa Kanisa la Kiorthodoksi la Urusi katika maandamano.
Shemasi mkuu (kwa Kiingereza: Archdeacon) ni cheo cha Kikanisa katika madhehebu mbalimbali ya Ukristo. Kiko chini ya askofu lakini juu ya vyeo vingine vingi vya kleri[1]
Mara nyingi nafasi hiyo imefananishwa na ile ya jicho (kwa Kilatini: oculus episcopi, jicho la askofu).[2].
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:
- Role of Archdeacons, the tomb of Archdeacons and Kappalottam at Kuravilangadu, Nasrani, 2007-06-14
- The Saint Thomas Christians in India from 52 to 1687 AD, DE: Srite, archived from the original on 2021-07-11, retrieved 2021-11-07
- [2]
- Pakalomattom Ayrookuzhiyil family, archived from the original on 2011-06-24, retrieved 2021-11-07
![]() |
Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Shemasi mkuu kama historia yake, matokeo au athari zake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |