29 Julai

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jun - Julai - Ago
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29 30 31
Kalenda ya Gregori

Tarehe 29 Julai ni siku ya 210 ya mwaka (ya 211 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 155.

Matukio[hariri | hariri chanzo]

Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]

Waliofariki[hariri | hariri chanzo]

Sikukuu[hariri | hariri chanzo]

Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu ya watakatifu Martha, Maria na Lazaro wa Bethania, Kaliniko wa Gangra, Felisi wa Roma, Simplisi, Faustini na wenzao, Lupo wa Troyes, Prospa wa Orleans, Olaf II, Wiliamu Pinchon, Yosefu Wang Wenlan, Paulo Chen Changpin, Yohane Mbatizaji Luo Tingyin, Martha Wang Luoshi n.k.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu 29 Julai kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.