Yohane Mbatizaji Luo Tingyin

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Yohane Mbatizaji Luo Tingyin (1825 hivi - Qingyan 29 Julai 1861) alikuwa mlei wa China, mhasibu wa seminari, aliyefia Ukristo pamoja na Yosefu Zhang Wenlan, Paulo Chen Changpin na Martha Wang Luoshi.

Walifungwa katika handaki lenye joto na unyevu mwingi, waliteswa kikatili na hatimaye walikatwa kichwa[1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe ya kifodini chake[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.