Olaf II Haraldsson

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sarafu ya Mt. Olaf miaka 10231028.
Mt. Olaf katika kioo cha rangi dirishani mwa kanisa la Ålesund.

Olaf II Haraldsson (kwa Kinorwe asili: Ólafr Haraldsson; pia "Olave"; 99529 Julai 1030) alikuwa mfalme wa Norway kuanzia mwaka 1015 hadi 1028.

Mwaka mmoja baada ya kuuawa vitani huko Stiklestad, alitangazwa na askofu Grimketel huko Nidaros (Trondheim) kuwa mtakatifu. Jambo hilo lilichangia sana uenezi wa Ukristo nchini, naye akawa kiini cha utambulisho wa taifa[1][2].

Mwaka 1164 Papa Alexander III alithibitisha utakatifu wake.

Pamoja na Wakatoliki na Waorthodoksi[3], baadhi ya Walutheri na Waanglikana pia wanamheshimu.[4]

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Julai[5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Olav den hellige. Kunsthistorie. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-02-20. Iliwekwa mnamo September 1, 2017.
  2. Fredrik Paasche (29 July 1930). Olav Haraldsson. Den norske kirkes 900-årsjubileum. Iliwekwa mnamo September 1, 2017.
  3. Vladimir Moss. Martyr-King Olaf of Norway – A Holy Orthodox Saint of Norway. Iliwekwa mnamo 14 December 2015.
  4. "The Calendar", 2013-10-16. Retrieved on 2018-03-10. (en-US) Archived from the original on 2019-10-22. 
  5. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Ekrem, Inger; Lars Boje Mortensen; Karen Skovgaard-Petersen (2000) Olavslegenden og den Latinske Historieskrivning i 1100-tallets Norge (Museum Tusculanum Press) ISBN|978-87-7289-616-8
  • Hoftun, Oddgeir (2008) Kristningsprosessens og herskermaktens ikonografi i nordisk middelalder (Oslo) ISBN|978-82-560-1619-8
  • Hoftun, Oddgeir (200) Stavkirkene – og det norske middelaldersamfunnet (Copenhagen; Borgens Forlag) ISBN|87-21-01977-0
  • Langslet, Lars Roar; Ødegård, Knut (2011) Olav den hellige. Spor etter helgenkongen (Oslo: Forlaget Press) ISBN|82-7547-402-7
  • Lidén, Anne (1999) Olav den helige i medeltida bildkonst. Legendmotiv och attribut (Stockholm) ISBN|91-7402-298-9
  • Myklebus, Morten (1997) Olaf Viking & Saint (Norwegian Council for Cultural Affairs) ISBN|978-82-7876-004-8
  • Passio Olavi (1970) Lidingssoga og undergjerningane åt den Heilage Olav (Oslo) ISBN|82-521-4397-0
  • Rumar, Lars (1997) Helgonet i Nidaros: Olavskult och kristnande i Norden (Stockhol) {SBN|91-88366-31-6

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.