Olaf II Haraldsson


Olaf II Haraldsson (kwa Kinorwe asili: Ólafr Haraldsson; pia "Olave"; 995 – 29 Julai 1030) alikuwa mfalme wa Norway kuanzia mwaka 1015 hadi 1028.
Mwaka mmoja baada ya kuuawa vitani huko Stiklestad, alitangazwa na askofu Grimketel huko Nidaros (Trondheim) kuwa mtakatifu. Jambo hilo lilichangia sana uenezi wa Ukristo nchini, naye akawa kiini cha utambulisho wa taifa[1][2].
Mwaka 1164 Papa Alexander III alithibitisha utakatifu wake.
Pamoja na Wakatoliki na Waorthodoksi[3], baadhi ya Walutheri na Waanglikana pia wanamheshimu.[4]
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Julai[5].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Olav den hellige. Kunsthistorie. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-02-20. Iliwekwa mnamo September 1, 2017.
- ↑ Fredrik Paasche (29 July 1930). Olav Haraldsson. Den norske kirkes 900-årsjubileum. Iliwekwa mnamo September 1, 2017.
- ↑ Vladimir Moss. Martyr-King Olaf of Norway – A Holy Orthodox Saint of Norway. Iliwekwa mnamo 14 December 2015.
- ↑ "The Calendar", 2013-10-16. Retrieved on 2018-03-10. (en-US) Archived from the original on 2019-10-22.
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Ekrem, Inger; Lars Boje Mortensen; Karen Skovgaard-Petersen (2000) Olavslegenden og den Latinske Historieskrivning i 1100-tallets Norge (Museum Tusculanum Press) ISBN|978-87-7289-616-8
- Hoftun, Oddgeir (2008) Kristningsprosessens og herskermaktens ikonografi i nordisk middelalder (Oslo) ISBN|978-82-560-1619-8
- Hoftun, Oddgeir (200) Stavkirkene – og det norske middelaldersamfunnet (Copenhagen; Borgens Forlag) ISBN|87-21-01977-0
- Langslet, Lars Roar; Ødegård, Knut (2011) Olav den hellige. Spor etter helgenkongen (Oslo: Forlaget Press) ISBN|82-7547-402-7
- Lidén, Anne (1999) Olav den helige i medeltida bildkonst. Legendmotiv och attribut (Stockholm) ISBN|91-7402-298-9
- Myklebus, Morten (1997) Olaf Viking & Saint (Norwegian Council for Cultural Affairs) ISBN|978-82-7876-004-8
- Passio Olavi (1970) Lidingssoga og undergjerningane åt den Heilage Olav (Oslo) ISBN|82-521-4397-0
- Rumar, Lars (1997) Helgonet i Nidaros: Olavskult och kristnande i Norden (Stockhol) {SBN|91-88366-31-6
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- St. Olavs Orden (Kinorwei)
- Olav den Hellige – Norges evige konge
- A History of Norway and The Miracles of the Blessed Olafr
- Haraldsson (Stiklestad Nasjonale Kultursenter)
- Ny viten om Olav den hellige(Jørgen Haavardsholm. University of Oslo)
- [1] Saint Olave - King of Norway, Olav den Hellige.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |