Utakatifu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Qodeš l-Yahweh, "Mtakatifu kwa Yahweh", mwandiko uliovaliwa na kuhani mkuu katika paji la uso.

Utakatifu (kutoka kitenzi "kutakata") ni ule usafi wa pekee wa Mwenyezi Mungu mwenyewe asiye na mawaa.

Kwa binadamu ni hali ya ukamilifu katika kuepukana na dhambi, na hivyo kuwa karibu na Mungu.

Katika Biblia[hariri | hariri chanzo]

Neno la Kiebrania Qadosh linamhusu kwa namna ya pekee Mungu katika ukuu wake usioweza hata kufafanishwa na ule wa viumbe vyake bora[1] na unaodai yale yanayomhusu yasichanganywe na matumizi mengine[2].

Katika Kigiriki kuna neno Agios likimaanisha kutokuwa na makosa au udhaifu au uchafu[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Botterweck, G. Johannes; Ringgren, Helmer; Fabry, Heinz-Josef (1974), Theological Dictionary of the Old Testament, Wm. B. Eerdmans Publishing, uk. 525, ISBN 0-8028-2336-X  Kigezo:Refimprove inline
  2. Deiss, Lucien; Burton, Jane M.-A.; Molloy, Donald (1996), Visions of Liturgy and Music for a New Century, Liturgical Press, uk. 81, ISBN 0-8146-2298-4  Unknown parameter |url-access= ignored (help)
  3. "Άγιος - Λεξικό της κοινής νεοελληνικής". www.greek-language.gr. Iliwekwa mnamo 2019-11-29. 

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.