Kinorwei

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Kinorwe)
Kinorwei
norsk
Pronunciation [nɔʂk]
Inazungumzwa nchini Norwei
Jumla ya wazungumzaji 4,700,000
Familia ya lugha Lugha za Kihindi-Kiulaya
Standard forms
Mfumo wa uandikaji Alfabeti ya Kilatini
Hadhi rasmi
Lugha rasmi nchini Norwei
Hurekebishwa na Språkrådet
Misimbo ya lugha
ISO 639-1 no
ISO 639-2 nor
ISO 639-3 nor

Kinorwei (Kinorwei: norsk) ni lugha ya Kigermanik ya Kaskazini katika jamii ya lugha za Kihindi-Kiulaya.

Kinorwei kinasemwa na watu 4,700,000 hivi, na ni lugha rasmi nchini Norwei.

Kinorwei, Kiswidi na Kidenmark vinavyoitwa lugha za Skandinavia ya bara vinahusiana sana.

Kinorwei kina insha rasmi mbili: bokmål na nynorsk.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kinorwei kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.