Trondheim
Jump to navigation
Jump to search
Trondheim | |||
|
|||
Lua error in Module:Location_map at line 510: Unable to find the specified location map definition: "Module:Location map/data/Norwei" does not exist.Mahali pa Trondheim katika Norwei |
|||
Majiranukta: 63°25′47″N 10°23′36″E / 63.42972°N 10.39333°E | |||
Nchi | Norwei | ||
---|---|---|---|
Jimbo | Sør-Trøndelag | ||
Serikali | |||
- Type | Manispaa | ||
- Meya | Rita Ottervik (Ap) | ||
Eneo | |||
- | 342.26 km² | ||
- Bara | 324.16 km² | ||
- Maji | 18.1 km² | ||
Idadi ya wakazi | |||
- | 198,219 |

Kanisa kuu la Nidaros (Nidarosdomen).
Trondheim (kwa Kisaami cha Kusini: Tråante) ni manispaa na mji wa Sør-Trøndelag, jimbo la Norwei. Mji una wakazi 198,219 (mnamo Oktoba 2019). Trondheim ni mji mkubwa wa tatu nchini Norwei.
Trondheim ni mji mkuu wa jimbo la Sør-Trøndelag. Vyuo vikuu vya NTNU na Høgskolen i Sør-Trøndelag (HiST) viko Trondheim.
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Norwei bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Trondheim kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |