Maria wa Bethania

Maria wa Bethania (jina lake kwa Kiebrania מִרְיָם, Miryām, kwa Kiaramu מרים, Maryām, kwa Kigiriki Μαρία, Maria) alikuwa mwanamke wa Bethania, kitongoji cha Yerusalemu, katika karne ya 1[1].
Ndugu zake walikuwa Martha na Lazaro wa Bethania, ambao wote Yesu alifurahia urafiki wao hasa alipohiji kwenda Yerusalemu.
Wanaheshimiwa na Wakristo wengi kama watakatifu[2].
Sikukuu yao inaadhimishwa pamoja tarehe 29 Julai[3] au 4 Juni, kadiri ya madhehebu.
Maisha
[hariri | hariri chanzo]Anajulikana hasa kutokana na Injili, kwa namna ya pekee Injili ya Luka (10:38-42)[4] na Injili ya Yohane (11; 12:1-8), katika Agano Jipya ndani ya Biblia ya Kikristo.
Humo anaonekana mwenye silika ya utulivu na imani kwa Yesu Kristo, ambaye alipendezwa sana na usikivu wake wakati alimfundisha ameketi chini karibu na miguu yake, kama ilivyokuwa kawaida ya wanafunzi wa dini ya Kiyahudi, ingawa wakati huo wanaume tu walikubalika.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/96761
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/99081
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ Masomo ya Breviari - Sikukuu za Bwana, za Bikira Maria na za Watakatifu - Ndanda Mission Press 1978, uk 251-253
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Easton's Bible Dictionary, 1897
- Catholic Encyclopedia 1910: under "Saint Mary Magdalene"
- Mary & Martha, the sisters of Lazarus Ilihifadhiwa 26 Oktoba 2009 kwenye Wayback Machine., Greek Orthodox Archdiocese of America.
- CIRCULO SANTA MARIA DE BETANIA, group dedicated to the devotion of Saint Mary of Bethany in the Philippines
| Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Maria wa Bethania kama habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |