Nenda kwa yaliyomo

Mitazamo ya Agano Jipya juu ya Yesu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro wa Lodovico Carracci (1594) unaoonyesha kugeuka sura kwa Yesu mbele ya mitume wake Petro, Yakobo Mkubwa na Yohane.
Mfululizo wa kurasa juu ya Yesu
Yesu
Yesu Kristo na Ukristo

Umwilisho   Utoto wa Yesu   Ubatizo   Arusi ya Kana   Utume wa Yesu   Mifano ya Yesu   Miujiza ya Yesu   Kugeuka sura   Karamu ya mwisho   Msalaba wa Yesu   Maneno saba   Kifo cha Yesu   Ufufuko wa Yesu   Kupaa mbinguni   Ujio wa pili  Yesu na matabiri ya Agano la Kale   Injili   Majina ya Yesu katika Agano Jipya   Yesu kadiri ya historia   Tarehe za maisha ya Yesu   Kristolojia

Mazingira ya Yesu

Wayahudi   Kiaramu   Bikira Maria   Yosefu (mume wa Maria)   Familia takatifu   Ukoo wa Yesu   Ndugu wa Yesu   Yohane Mbatizaji

Mitazamo juu ya Yesu

Mitazamo katika Agano Jipya  · Mitazamo ya Kikristo   Mitazamo ya Kiyahudi   Mitazamo ya Kiislamu   Yesu katika sanaa

Mitazamo ya Agano Jipya juu ya Yesu inatofautiana kadiri ya waandishi, lakini bila kuvunja umoja wa imani yuu yake kama Kristo na Mwana wa Mungu.

Mitazamo muhimu zaidi ni ile ya Mtume Paulo na Mtume Yohane, ambao ndio wanateolojia hasa, lakini ipo mingine kama ile ya Injili ya Marko, Injili ya Mathayo, Mwinjili Luka, Waraka kwa Waebrania n.k.

Pengine mwandishi yuleyule anatushirikisha mitazamo tofautitofauti katika vitabu vyake, kwa mfano kutokana na maendeleo ya uelewa wake. Hivyo jinsi Yesu Kristo anavyoonekana katika Waraka kwa Waefeso imeendelea kuliko ilivyo katika Waraka wa kwanza kwa Wathesalonike ulioandikwa na Paulo yuleyule zaidi ya miaka 10 kabla yake.

Kristolojia inakusanya mitazamo hiyo yote na kujitahidi kuelewa zaidi tena fumbo la Kristo.

Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mitazamo ya Agano Jipya juu ya Yesu kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.