Theodoriki Mkuu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Theodoriko Mkuu)
Theodoriki Mkuu.
Dola la Theodoriki mwaka 523: rangi nyekundu inaonyesha maeneo aliyoyatawala mwenyewe, ile ya pink maeneo yaliyokuwa chini ya himaya yake.

Theodoriki Mkuu (454 - 30 Agosti 526) alikuwa mfalme wa Waostrogoti kuanzia mwaka 474. Ndiye aliyewaongoza kuteka Italia na kufikia mwaka 523 alitawala hadi Bahari ya Atlantiki.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: