Theodoriki Mkuu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Theodoriki Mkuu.
Dola la Theodoriki mwaka 523: rangi nyekundu inaonyesha maeneo aliyoyatawala mwenyewe, ile ya pink maeneo yaliyokuwa chini ya himaya yake.

Theodoriki Mkuu (454 - 30 Agosti 526) alikuwa mfalme wa Waostrogoti kuanzia mwaka 474. Ndiye aliyewaongoza kuteka Italia na kufikia mwaka 523 alitawala hadi Bahari ya Atlantiki.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

     .

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

     . https://onlinelibrary.wiley.com/doi/abs/10.1111/j.1468-0254.1995.tb00065.x.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: