Sinodi ya Whitby

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Maghofu ya Abasia ya Whitby, sinodi ilipofanyika.

Sinodi ya Whitby (664 BK) ilikuwa sinodi ya ufalme wa Northumbria ambapo Oswiu wa Northumbria aliamua kufuata desturi za Kanisa la Roma badala ya zile za Ukristo wa Kiselti zilizosambazwa awali kutoka Iona[1][2][3][4].

Sinodi hiyo ilifanyika kwenye monasteri pacha za Hilda wa Whitby huko Streonshalh (Streanæshalch), baadaye Whitby.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Colgrave, Earliest Life of Gregory the Great, p. 9.
  2. see C. W. Jones introductory text to his edition of Bedae Opera de Temporibus (Cambridge, Mass., 1946) pp. 55–104.
  3. Patrick Wormald, 'Bede and the 'Church of the English', in The Times of Bede, p. 210.
  4. Brown, Rise of Western Christendom, p. 361.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo vikuu[hariri | hariri chanzo]

  • Bede, Historia Ecclesiastica Gentis Anglorum, in Venerabilis Baedae Opera Historica. ed. C. Plummer (Oxford, 1896)
  • Stephen of Ripon, Life of Bishop Wilfrid, ed. and trans. Bertram Colgrave (Cambridge: Cambridge University Press, 1985)

Vyanzo vingine[hariri | hariri chanzo]

  • Abels, Richard. "The Council of Whitby: A Study in Early Anglo-Saxon Politics", in Journal of British Studies, 23 (1984)
  • Brown, Peter. The Rise of Western Christendom: Triumph and Diversity, 2nd ed. (Oxford: Blackwell Publishing, 2003)
  • Cubitt, Catherine, Anglo-Saxon Church Councils c. 650–850 (London: Leicester University Press, 1995)
  • Higham, N. J. The Kingdom of Northumbria AD 350–1100 (Alan Sutton, 1993)
  • Mayr-Harting, Henry. The Coming of Christianity to Anglo-Saxon England, 3rd edition (London: B. T. Batsford Ltd, 1991)
  • Stenton, F. M. Anglo-Saxon England, 3rd edition (Oxford: Clarendon Press, 1971)
  • Wormald, Patrick, The Times of Bede: Studies in Early English Christian Society and its Historian, ed. Stephen Baxter (Oxford: Blackwell Publishing, 2006)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]