Northumberland

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Northumbria)
Eneo la Northumberland

Northumberland ni kaunti ya Uingereza iliyopo kwenye mpaka wa Uskoti. Jina limetokana na mahali pake upande wa kaskazini wa mto Humber. Ni sehemu ya mkoa wa Uingereza Kaskazini-Mashariki.

Ina eneo la km² 5,013 na idadi ya wakazi ni 316.116[1]. Makao makuu ya mkoa yapo kwenye mji mdogo wa Morpeth mwenye wakazi 13,833. Ngome ya Chillingham Castle iko hapa.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Sensa 2011, kupitia archive.org