Papa Adeodato I
Jump to navigation
Jump to search
Papa Adeodato I (pia aliitwa Deusdedit) alikuwa Papa kuanzia tarehe 13 Novemba 615 hadi kifo chake tarehe 8 Novemba 618. Jina la baba yake lilikuwa Stephanus.
Alimfuata Papa Bonifasi IV akafuatwa na Papa Bonifasi V.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[1].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
{reflist}}
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Adeodato I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |