Hekima

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mapembe kichwani mwa Musa alivyochongwa na Michelangelo ni kielelezo cha hekima.
Sanamu ya hekima katika Ugiriki wa kale kwenye Celsus Library huko Efeso, Uturuki.

Hekima ni hali bora ya mtu katika kutambua ukweli wa binadamu, vitu, matukio na mazingira mbalimbali hata kuchagua vizuri la kufanya.

Katika dini mbalimbali inatokana na imani kwa Mungu.

Katika Ukristo inatajwa pengine kati ya vipaji vya Roho Mtakatifu vinavyokamilisha maadili ya kiutu na maadili ya Kimungu vilevile.

Ndicho kipaji bora ambacho hutusaidia tupende na kufurahia mambo ya Mungu.

Marejeo

  • Allen, James Sloan, Worldly Wisdom: Great Books and the Meanings of Life, Frederic C. Beil, 2008. ISBN 978-1-929490-35-6
  • Miller, James, L., "Measures of Wisdom: The Cosmic Dance in Classical and Christian Antiquity", University of Toronto Press, 1986. ISBN 0-8020-2553-6
  • Velasquez, Susan McNeal, "Beyond Intellect: Journey Into the Wisdom of Your Intuitive Mind", Row Your Boat Press, 2007. ISBN 978-0-9796410-0-8
  • Freduci Philomathis, "What is this thing called wisdom?", Journal Behind the State of the Art, Maybell, Colorado, 2006
  • E.F. Schumacher, "Small is Beautiful", Harper and Row, New York, New York, 1989.
  • Sternberg, Robert J., Wisdom: Its Nature, Origins, and Development (1990). Cambridge University Press. ISBN 978-0521367189

Viungo vya nje

Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:
Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu: