Papa Marcello I
Mandhari

Papa Marcello I alikuwa Papa kuanzia mwaka 306 hadi kifo chake tarehe 16 Januari 309[1]. Alitokea Roma, Italia.
Alimfuata Papa Marcellinus miaka miwili hivi baada ya huyo kufa wakati wa dhuluma ya Kaisari Diokletiano dhidi ya Wakristo[2] .
Katika kurudisha taratibu za Kanisa, alipanga malipizi makali kwa waumini wengi waliowahi kuasi. Kadiri ya Papa Damaso I, Marseli alikuwa mchungaji bora, aliyepingwa vikali na Wakristo waasi waliokataa kufanya toba aliyokuwa ameiagiza[2], akasingiziwa akafungwa na Kaisari Maxentius na kufariki mapema uhamishoni, akifuatwa madarakani na Papa Eusebius[3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake inaadhimishwa tarehe 16 Januari[4].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Mapapa
- Mababu wa Kanisa
Maandishi yake
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
- ↑ 2.0 2.1
One or more of the preceding sentences incorporates text from a publication now in the public domain: Herbermann, Charles, mhr. (1913). . Catholic Encyclopedia. Robert Appleton Company.
{{cite encyclopedia}}
: Cite has empty unknown parameters:|1=
,|month=
, na|coauthors=
(help); Invalid|ref=harv
(help) - ↑ public domain: Chisholm, Hugh, mhr. (1911). . Encyclopædia Britannica. Juz. la 17 (tol. la 11th). Cambridge University Press. uk. 685.
{{cite encyclopedia}}
: Cite has empty unknown parameter:|coauthors=
(help) One or more of the preceding sentences incorporates text from a publication now in the - ↑ Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Liber Pontificalis, ed. Louis Duchesne, I, 164–6; cf. Introduction, xcix–c; Acta SS., Jan., II, 369
- Joseph Langen, Geschichte der Römischen Kirche I, 379 sqq.
- Paul Allard, Histoire des persécutions, V, 122–4
- Louis Duchesne, Histoire ancienne de l'Église, II, 95–7.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Marcello I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
Jamii:
- CS1 errors: empty unknown parameters
- CS1 errors: invalid parameter value
- Articles incorporating text from the 1913 Catholic Encyclopedia with Wikisource reference
- Wikipedia articles incorporating a citation from the 1911 Encyclopaedia Britannica with Wikisource reference
- Wikipedia articles incorporating text from the 1911 Encyclopædia Britannica
- Mbegu za Papa
- Papa
- Waliozaliwa 255
- Waliofariki 309
- Mababu wa Kanisa
- Watakatifu wa Italia