Papa Theodor I
Jump to navigation
Jump to search
Papa Theodor I alikuwa Papa kuanzia tarehe 24 Novemba 642 hadi kifo chake tarehe 14 Mei 649.
Alimfuata Papa Yohane IV akafuatwa na Papa Martin I.
Mzaliwa wa Yerusalemu (Israeli), alikimbilia Roma Waislamu walipoteka Nchi Takatifu.
Alipinga uzushi wa waliokanusha Yesu kuwa na utashi wa kibinadamu.
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake inaadhimishwa tarehe 18 Mei.[1]
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Ὁ Ἅγιος Θεόδωρος ὁ Ἱερομάρτυρας Ἐπίσκοπος Ρώμης. 18 Μαΐου. ΜΕΓΑΣ ΣΥΝΑΞΑΡΙΣΤΗΣ.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Theodor I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |