Papa Adrian III

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Adrian III

Feast

Papa Adrian III alikuwa Papa kuanzia tarehe 17 Mei 884 hadi kifo chake mnamo Agosti/Septemba 885[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2][3] .

Alimfuata Papa Marinus I akafuatwa na Papa Stefano V.

Katika mwaka wa Upapa wake alijitahidi kusaidia watu wa Italia walioteseka kwa vita na njaa[4].

Alitangazwa na Papa Leo XIII kuwa mtakatifu tarehe 2 Juni 1891.

Sikukuu yake ni 8 Julai[5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Maandishi[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Adrian III kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.