Papa Caio
Mandhari

Papa Caio alikuwa Papa kuanzia tarehe 17 Desemba 283 hadi kifo chake tarehe 22 Aprili 296[1]. Alitokea Dalmatia, leo nchini Korasya[2].
Alimfuata Papa Eutychian akafuatwa na Papa Marcellinus.
Wakati wa Upapa wake, chokochoko dhidi ya Wakristo zilianza kuongezeka tena, ingawa waliweza kujenga makanisa na kupanua mashamba ya Mungu. Alidai muumini asipewe uaskofu bila kupitia kwanza daraja zote za chini[3]. Alikwepa dhuluma ya kaisari Dioklesyano, anayesemekana alikuwa na undugu naye.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
- Mababu wa Kanisa
- Orodha ya Mapapa
Maandishi yake
[hariri | hariri chanzo]- Opera Omnia kadiri ya Migne katika Patrologia Latina
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/50400 (Kiitalia)
- ↑ Saint of the Day, April 22: Caius Archived 28 Oktoba 2013 at the Wayback Machine SaintPatrickDC.org. Retrieved 4 March 2012.
- ↑ Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Caio kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
