Papa Innocent VIII
Jump to navigation
Jump to search
Papa Innocent VIII (1432 – 25 Julai 1492) alikuwa Papa kuanzia tarehe 29 Agosti 1484 hadi kifo chake.
Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giovanni Battista Cybo (au Cibo).
Alimfuata Papa Sixtus IV akafuatwa na Papa Aleksanda VI.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Innocent VIII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |