Papa Boniface VIII

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Bonifasi VIII.

Papa Boniface VIII (takriban 123511 Oktoba 1303) alikuwa Papa kuanzia tarehe 24 Desemba 1294/23 Januari 1295 hadi kifo chake[1]. Alitokea Anagni, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Benedetto Caetani.

Alimfuata Papa Selestini V akafuatwa na Papa Benedikto XI.

Ndiye aliyeanzisha jubilei katika Kanisa Katoliki (1300).

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Boniface VIII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.