Papa Pelagio II

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Pelagio II.

Papa Pelagio II alikuwa Papa kuanzia tarehe 26 Novemba 579 hadi kifo chake tarehe 7 Februari 590[1]. Alitokea Roma, Italia[2].

Alimfuata Papa Benedikto I akafuatwa na Papa Gregori I.

Alifariki kwa tauni iliyofika mji wa Roma mwisho wa mwaka 589.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Duffy, Eamon. Saints and Sinners: A History of the Popes, Yale University Press, 2001. pp 62–63. ISBN 0-300-09165-6
  • Maxwell-Stuart, P. G. Chronicle of the Popes: The Reign-by-Reign Record of the Papacy from St. Peter to the Present, Thames & Hudson, 2002, p. 47. ISBN 0-500-01798-0.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Pelagio II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.