Papa Paskali I
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Paskali I alikuwa papa kuanzia 25 Januari, 817 hadi kifo chake tarehe 11 Februari, 824. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Paschal Massimi, mwana wa Bonosus. Alimfuata Papa Stefano IV.
[hariri] Viungo vya nje
Papa Paskali I katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Paskali I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
