Papa Leo IX
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Leo IX (21 Juni, 1002 – 19 Aprili, 1054) alikuwa papa kuanzia 12 Februari, 1049 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Bruno wa Eguisheim-Dagsburg. Alimfuata Papa Damaso II.
[hariri] Viungo vya nje
Papa Leo IX katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Leo IX kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |