Papa Marinus I

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Marino.

Papa Marinus I alikuwa Papa kuanzia Desemba 882 hadi kifo chake tarehe 15 Mei 884[1]. Alitokea Gallese, Lazio, Italia[2].

Alimfuata Papa Yohane VIII akafuatwa na Papa Adriano III.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Maandishi yake[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Marinus I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.