Papa Pius V
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Pius V (17 Januari 1504 – 1 Mei 1572) alikuwa papa kuanzia 7 Januari 1566 hadi kifo chake. Alimfuata Papa Pius IV akafuatwa na Papa Gregori XIII.
Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Antonio Ghislieri.
Baadaye alijiunga na shirika la Wahubiri.
Viungo vya nje [hariri]
Papa Pius V katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Pius V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |