Papa Pius V
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Pius V (17 Januari, 1504 – 1 Mei, 1572) alikuwa papa kuanzia 7 Januari, 1566 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Antonio Ghislieri. Alimfuata Papa Pius IV.
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Pius V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |