Papa Symmachus
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Symmachus alikuwa papa kuanzia 22 Novemba, 498 hadi kifo chake tarehe 19 Julai, 514. Alimfuata Papa Anastasio II.
[hariri] Viungo vya nje
Kuhusu Papa Symmachus katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Symmachus kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |