Papa Pius XI
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Pius XI (31 Mei, 1857 – 10 Februari, 1939) alikuwa Papa kuanzia 6 Februari, 1922 hadi kifo chake. Alitoka nchi ya Italia. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Achille Ambrogio Damiano Ratti. Alimfuata Papa Benedikt XV na kuvishwa taji 12 Februari, 1922. Kabla ya kuchaguliwa kama Papa, alikuwa askofu mkuu wa Milano (tangu 1921).
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Pius XI kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
