Papa Pius XI

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Pius XI.
Pius XI ofisini.

Papa Pius XI (31 Mei 185710 Februari 1939) alikuwa Papa kuanzia tarehe 6/12 Februari 1922 hadi kifo chake[1]. Alitokea Desio, Milano, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Achille Ratti.

Alimfuata Papa Benedikto XV na kuvishwa taji la Kipapa tarehe 12 Februari 1922. Akafuatwa na Papa Pius XII.

Maisha[hariri | hariri chanzo]

Kabla ya kuchaguliwa kama Papa, alikuwa askofu mkuu wa Milano (tangu mwaka 1921).

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Pius XI kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.