1922
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1890 | Miaka ya 1900 | Miaka ya 1910 | Miaka ya 1920 | Miaka ya 1930 | Miaka ya 1940 | Miaka ya 1950 | ►
◄◄ | ◄ | 1918 | 1919 | 1920 | 1921 | 1922 | 1923 | 1924 | 1925 | 1926 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1922 BK (Baada ya Kristo).
Matukio [hariri]
- 6 Februari - Uchaguzi wa Papa Pius XI
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 1922 MCMXXII |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5682 – 5683 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1914 – 1915 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1371 ԹՎ ՌՅՀԱ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1341 – 1342 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1300 – 1301 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 1977 – 1978 |
| - Shaka Samvat | 1844 – 1845 |
| - Kali Yuga | 5023 – 5024 |
| Kalenda ya Kichina | 4618 – 4619 辛酉 – 壬戌 |
- 9 Januari - Har Khorana, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1968
- 28 Januari - Robert Holley, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1968
- 13 Aprili - Julius Nyerere (Rais wa kwanza, "Mwalimu" na "Baba wa Taifa" wa Tanzania)
- 22 Aprili - Charles Mingus, mwanamuziki wa Marekani
- 13 Juni - Etienne Leroux, mwandishi wa Afrika Kusini
- 15 Julai - Leon Lederman, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1988
- 9 Septemba - Hans Georg Dehmelt, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1989
- 22 Septemba - Chen Ning Yang (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1957)
- 19 Oktoba - Elsa Joubert, mwandishi wa Afrika Kusini
- 14 Novemba - Boutros Boutros-Ghali, mwanasiasa wa Misri, na Katibu Mkuu wa UM (1992-1996)
- 16 Novemba - Jose Saramago (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1998)
- 17 Novemba - Stanley Cohen (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1986)
- 14 Desemba - Nikolai Basov (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1964)
Waliofariki [hariri]
- 22 Januari - Papa Benedikt XV
- 22 Januari - Fredrik Bajer (mwanasiasa Mdenmark, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1908)
- 18 Mei - Alphonse Laveran (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1907)
- 2 Agosti - Alexander Graham Bell (mgunduzi wa mawasiliano ya simu)
- 18 Novemba - Marcel Proust, mwandishi kutoka Ufaransa
Wikimedia Commons ina media kuhusu: