1922
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Miaka: | 1919 1920 1921 - 1922 - 1923 1924 1925 |
[hariri] Matukio
- 6 Februari - Uchaguzi wa Papa Pius XI
[hariri] Waliozaliwa
- 9 Januari - Har Khorana, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1968
- 28 Januari - Robert Holley, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1968
- 13 Aprili - Julius Nyerere (Rais wa kwanza, "Mwalimu" na "Baba wa Taifa" wa Tanzania)
- 22 Aprili - Charles Mingus, mwanamuziki wa Marekani
- 22 Septemba - Chen Ning Yang (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1957)
- 16 Novemba - Jose Saramago (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1998)
- 14 Desemba - Nikolai Basov (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1964)
[hariri] Waliofariki
- 22 Januari - Papa Benedikt XV
- 22 Januari - Fredrik Bajer (mwanasiasa Mdenmark, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1908)
- 18 Mei - Alphonse Laveran (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1907)
- 2 Agosti - Alexander Graham Bell (mgunduzi wa mawasiliano ya simu)

