1912
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1880 | Miaka ya 1890 | Miaka ya 1900 | Miaka ya 1910 | Miaka ya 1920 | Miaka ya 1930 | Miaka ya 1940 | ►
◄◄ | ◄ | 1908 | 1909 | 1910 | 1911 | 1912 | 1913 | 1914 | 1915 | 1916 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1912 BK (Baada ya Kristo).
Matukio [hariri]
- 8 Januari - kuanzishwa kwa "South African Native National Congress" nchini Afrika Kusini ambayo ni chama kitangulizi cha ANC.
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 1912 MCMXII |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5672 – 5673 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1904 – 1905 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1361 ԹՎ ՌՅԿԱ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1330 – 1331 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1290 – 1291 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 1967 – 1968 |
| - Shaka Samvat | 1834 – 1835 |
| - Kali Yuga | 5013 – 5014 |
| Kalenda ya Kichina | 4608 – 4609 辛亥 – 壬子 |
- 21 Januari - Konrad Bloch, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1964
- 30 Januari - Horst Matthai Quelle, mwanafalsafa kutoka Ujerumani
- 19 Aprili - Glenn Seaborg (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1951)
- 22 Mei - Herbert Brown, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1979
- 27 Mei – John Cheever (mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1979)
- 28 Mei - Patrick White (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1973)
- 30 Mei - Julius Axelrod, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1970
- 12 Julai - Kardinali Laurean Rugambwa wa Dar es Salaam
- 13 Agosti - Salvador Luria, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1969
- 30 Agosti - Edward Purcell (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1952)
- 17 Oktoba - Papa Yohane Paulo I (kwa jina la Albino Luciani)
- 19 Novemba - George Palade, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1974
- 30 Novemba - Gordon Parks, msanii wa Marekani
Waliofariki [hariri]
- 20 Aprili - Bram Stoker, mwandishi kutoka Ireland
- 12 Juni - Frederic Passy (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1901)
- 30 Juni - Mutsuhito (Meiji), Mfalme Mkuu wa Japani
- 6 Oktoba - Auguste Beernaert (mwanasiasa Mbelgiji na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1909)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: