20 Aprili
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Mac - Aprili - Mei | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | 30 | |||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
Matukio [hariri]
Waliozaliwa [hariri]
- 1633 - Go-Komyo, mfalme mkuu wa Japani (1643-1654)
- 1889 - Adolf Hitler
- 1918 - Kai Siegbahn (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1981)
- 1927 - Karl Alexander Müller, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1987
- 1962 - Cosmas Masolwa Masolwa, mbunge wa Tanzania
Waliofariki [hariri]
- 1314 - Papa Klementi V
- 1912 - Bram Stoker, mwandishi kutoka Ireland
- 2003 - Bernard Katz, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1970