27 Aprili
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Mac - Aprili - Mei | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | 30 | |||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
Matukio [hariri]
- 1960 - Nchi ya Togo inapata uhuru kutoka Ufaransa.
- 1961 - Nchi ya Sierra Leone inapata uhuru kutoka Uingereza.
Waliozaliwa [hariri]
- 1822 - Ulysses S. Grant, Rais wa Marekani (1869-1877)
- 1951 - Mario Das Neves, mwanasiasa wa Argentina
Waliofariki [hariri]
- 1521 - Ferdinand Magellan, mpelelezi kutoka Ureno
- 1605 - Papa Leo XI
- 1927 - Albert Jeremiah Beveridge, mwanasiasa na mwandishi kutoka Marekani
- 1972 - Kwame Nkrumah (Rais wa kwanza wa Ghana)