1982
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1950 | Miaka ya 1960 | Miaka ya 1970 | Miaka ya 1980 | Miaka ya 1990 | Miaka ya 2000 | Miaka ya 2010
◄◄ | ◄ | 1978 | 1979 | 1980 | 1981 | 1982 | 1983 | 1984 | 1985 | 1986 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1982 BK (Baada ya Kristo).
Matukio [hariri]
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 1982 MCMLXXXII |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5742 – 5743 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1974 – 1975 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1431 ԹՎ ՌՆԼԱ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1403 – 1404 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1360 – 1361 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2037 – 2038 |
| - Shaka Samvat | 1904 – 1905 |
| - Kali Yuga | 5083 – 5084 |
| Kalenda ya Kichina | 4678 – 4679 辛酉 – 壬戌 |
- 16 Februari - Angela Damas, mrembo wa Tanzania mwana wa 2002
- 18 Julai - Nestroy Kizito, mchezaji mpira kutoka Uganda
- 30 Novemba - Elisha Cuthbert, mwigizaji filamu kutoka Kanada
- 1 Desemba - Diego Cavalieri, mchezaji mpira kutoka Brazil
Waliofariki [hariri]
- 18 Januari - Huang Xianfan, mwanahistoria kutoka China
- 14 Februari - Antonio Casas, mwigizaji filamu kutoka Hispania
- 19 Machi - Louis-Victor Broglie, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1929
- 28 Machi - William Giauque (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1949)
- 15 Aprili - Teofilo Kisanji, askofu wa Kanisa la Moravian Tanzania
- 12 Juni - Karl von Frisch (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1973)
- 18 Juni – John Cheever (mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1979)
- 12 Agosti - Henry Fonda, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 15 Agosti - Hugo Theorell (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1955)
- 17 Agosti - Ruth First, mwandishi wa Afrika Kusini
- 21 Agosti - Sobhuza II, mfalme wa Uswazi
- 23 Agosti - Stanford Moore, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1972
bila tarehe
- Sydney Clouts, mwandishi wa Afrika Kusini
Wikimedia Commons ina media kuhusu: