24 Aprili

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mac - Aprili - Mei
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29 30
Kalenda ya Gregori

Tarehe 24 Aprili ni siku ya 114 ya mwaka (ya 115 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 251.

Matukio[hariri | hariri chanzo]

Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]

Waliofariki[hariri | hariri chanzo]

Sikukuu[hariri | hariri chanzo]

Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Fidelis wa Sigmaringen, Maria wa Kleopa, Salome, Aleksanda wa Lyon, Antimo na wenzake, Gregori wa Elvira, Deodato wa Blois, Melitus wa Canterbury, Vilfridi wa York, Egbati wa Iona, Wiliamu Firmati, Maria Pelletier, Benedikto Menni, Maria Elizabeti Hesselblad n.k.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu 24 Aprili kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.